Taarifa Za Hivi Punde

Draw ya robo fainali kwenye ligi ya mabingwa Eufa imefanywa dakika chache zilizopita.
Manchester United watacheza dhidi ya  Barcelona.
Juventus dhidi ya Ajax.
Huko Liverpool ikichuana na Porto.
Manchester City watacheza dhidi ya Totenham.

Draw hiyo imeleta maswali mengi kuliko majibu kati ya mashabiki,wachezaji na meneja kote nchini.

Maswali hayo ni pamoja na;

Je vijana wa Ole Gunner ,Manchester United almaarufu mashetani wekundu wataweza kuzima moto ya Barcelona wakiongozwa na Bingwa Lionel Messi?

Je Christiano Ronaldo ataweza kuongoza vijana wa Juventus dhidi ya Ajax ambao walishangaza wengi walipotoa timu ya real madrid ambapo Ronaldo alikuwa akichezea kabla kujiunga na Juventus.

Comments

Popular posts from this blog

Mahakamani

Jeshy Tisa Ya Kogalo wabandua Petro Atletico!

Brazil Sent Packing As Croatia Proceeds To Semi Finals