Marufuku Kwa Mifuko Sokoni
Hisia mbalimbali
zinazidi kutolewa na wananchi kuhusu agizo ya serekali kupitia mamlaka
ya utunzi
wa Mazingira NEMA ili kupiga marufuku mifuko vya kubeba bidhaa
sokoni almaarufu Uhuru bag.
NEMA inadai kuwa mifuko hizo hazijatimiza kiwango inayotakikana na shirika la kugadiria ubora wa bidhaa nchini KEBS.
Mifuko
hizo hazifai kuwa kwenye maduka na soko kuanzia jumapili tarehe 31
mwezi huu.Hivyo basi atakaye patikana nayo atakuwa anakiuka sheria na
uhenda akafungwa.
Nilipozungumza na baadhi
ya wakazi wa Kisumu kwenye soko la Kibuye wamesema kuwa hawakubaliani na agizo hilo la serikali ,kwa sababu watakosa mifuko vya
kuwahekea wateja wao bidhaa wanaponunua kutoka kwao.
Comments
Post a Comment