Mahakamani
Wanaume wawili wenye umri wa makamu leo hii wamejipata taabani
walipopelekwa kwenye mahakama ya Winam iliyoko jijini Kisumu kwa makosa
la kukiuka sheria za barabara.
Mbele ya hakimu
Benard Kasavuli,mahakama iliambiwa kuwa wanaume hao kwa jina Charles
Juma na George Ochieng' hawakuzingatia sheria za barabara tarehe 5
mwezi huu kwenye njia ya kakamega kisumu.
Bwana
George alikuwa akiendesha pikipiki enye windscreen iliyopasuka huko
Charles akihutumiwa kuendesha pikipiki bila reflector jacket na pia
helmet.
Walikubali mashtaka na kuachiliwa baada ya kutozwa faini.
Comments
Post a Comment