Mchezaji bingwa wa PSG Neymar Junior amegadhibishwa sana mwaumizi wa mechi kati ya PSG na Manchester United jana usiku.
Neymar amekuwa na hasira sana baada ya mechi hiyo na kumtusi mwamuzi huyo kwenye mtandao ya kijamii ya INSTAGRAM.
Mbrazil
huyo Amesema analaumu sana Eufa kwa kuchagua waamuzi wanne ambao
hawajui kazi zao vizuri ili kuongoza mechi kubwa kama hiyo.
Hiii ni baada ya mwamuzi kupatia Timu ya Manchester penalti ambayo kwake Neymar haikufaa.
Neymar
ambaye alikosa hiyo mechi kwa kuwa na majeraha amekiri kwamba mchezaji
mwenza wa PSG Kimpede hakunawa mpira ila mpira ilimpiga mkono huko
akiruka.
Kumbuka PSG walibanduliwa kutoka
kwenye kombe hilo la kung'ang'ania taji la EUFA kutokana na mabao za
ugenini na timu ya Manchester United.
Comments
Post a Comment