Manchester Na Kibarua
Timu ya Manchester United leo usiku wako na kibarua kubwa dhidi ya vijana wa PSG ugani Parc des Princes.
Manchester
walishindwa kwenye mechi ya mkondo wa kwanza kwao Old Traford kwa
mabao mawili kwa sufuri kwa hivyo ni lazima wapate ushindi wa mabao
matatu kwa sufuri ili kujipea nafasi kwenye robo fainali ya kombe hilo
la Eufa.

Mechi nyingine ya Eufa itakuwa baina ya Fc Porto na Roma ugani Estadio do Drangao nyumbani kwa Fc Porto.
Mechi zote mbili zitaanza mnamo saa tano kamili za usiku.
Comments
Post a Comment