Manchester Na Kibarua

Timu ya Manchester United leo usiku wako na kibarua kubwa dhidi ya vijana wa PSG ugani Parc des Princes.

Manchester walishindwa kwenye mechi ya mkondo wa kwanza kwao Old Traford kwa mabao mawili kwa sufuri kwa hivyo ni lazima wapate ushindi wa mabao matatu kwa sufuri ili kujipea nafasi kwenye robo fainali ya kombe hilo la Eufa.

Manchester United watakosa huduma za wachezaji wao Paul Pogba ambaye anahudumia marufuku baada ya kuwa na kadi nyingi za njano  pamoja  na Anthony Martial na Anthony Valencia ambao wako na majeraha miongoni mwa wengine.

Mechi nyingine ya Eufa itakuwa baina ya Fc Porto na Roma ugani Estadio do Drangao nyumbani kwa Fc Porto.

Mechi zote mbili zitaanza mnamo saa tano kamili za usiku.

Comments

Popular posts from this blog

Mahakamani

Jeshy Tisa Ya Kogalo wabandua Petro Atletico!

Brazil Sent Packing As Croatia Proceeds To Semi Finals