Mazingira safi
Serikali ya kaunti ya kisumu chini ya idara ya mazingira imeungana
leo na wanafunzi kutoka vyuo vikuu mbalimbali jijini kisumu na shirika
la exclusive modeling agency ili kusafisha mazingira.
Shughuli
hiyo ilifanywa katika soko la kibuye ambapo vijana hao waliungana pia
na shirika la CBO,KIWAN na KIKOMOC kutoa takataka kwenye soko hilo
iliyoko kwenye wadi ya kaloleni.
Wakiongozwa na
Vincent Ochieng' kutoka kikundi cha exclusive modeling agencies ,walimu
na wanafunzzi kutoka vyuo vikuu vilivyo katika kaunti ya kisumu
waliungana pamoja kusafisha soko hilo la kibuye.
Bwana Oyoo ameongeza kuwa ,kutakuwa na shughuli hiyo itakuwa inatekelezwa ijumaa ya pili kila mwezi.
vilevile
bwana oyoo amewaimiza wananchi kupanda miti.tunapokaribia kuadhimisha
siku ya misitu ulimwenguni mnamo tarehe 21 mwezi huu.
Comments
Post a Comment