zilizotokea mahakamani


Mahakama ya Winam jijini Kisumu, imeahirisha kesi inayomkabili Fredrick Odhiambo anayetuhumiwa kwa kesi mbili kujifanya polisi na pia kumiliki madawa za kulevya. 

Mbele ya hakimu Benard Kasavuli, mahakama iliambiwa kua bwana Ezekiel alipatikana mnamo tarehe ishirini mwezi huu maeneo ya kondele iliyoko kisumu akiwa na bhangi 'roals' tatu  na uko akijifanya kuwa polisi.
Fredrick alikanusha mashtaka hayo, na kuomba kuachiliwa dhamana.
Aliachiliwa kwa dhamana ya shilingi alfu 50 pesa taslimu, au shilingi alfu 10 na mdhamini wa kiasi sawa na hicho.
Kesi hiyo itasikilizwa tarehe 6 mwezi ujao mwaka huu.

Comments

Popular posts from this blog

Mahakamani

Jeshy Tisa Ya Kogalo wabandua Petro Atletico!

Brazil Sent Packing As Croatia Proceeds To Semi Finals