Eufa Europa League

Mechi za Eufa Europa League zilirejea usiku wa Alhamisi kwa raundi ya 32 ambapo mechi mbalimbali zilichezwa kwenye uga tofauti.

Arsenal walilaza vijana wa Bate kwa mabao tatu kwa sufuri ugani emirates,Redbull ikashinda timu ya club Brugge kwa mabao manne kwa sufuri,Eintrach ilishinda Shahktar Donestk kwa mabao manne kwa moja,Villareal wakatoka sare ya moja kwa moja dhidi ya Sporting,Dinamo Zagreb walishinda Plzen kwa mabao tatu kwa sufuri,uko Zenit wakilaza Fernabache kwa mabao tatu kwa moja,Valencia waliponyoka na bao moja dhidi ya Celtic,uko Napoli wakashindi mbili kwa sufuri dhidi ya Fc Zurich,Timu ya Genk walishindwa na Slavia Praha kwa mabao manne kwa moja uko Inter milan ikilaza Rapid Wien kwa mabao manne kwa sufuri.

Vilevile Bayern Liverkusen walilazimishwa kutoka sare na Fc Krasnodor,Benfika pia nao wakatoka sare bila bao dhidi ya Galatasary,Real Betis walishindwa kwao na Rennes kwa mabao tatu kwa moja,Dynamo Kyiv walishinda kwa bao moja kwa sufuri dhidi ya Olympiacos Uko Chelsea wakimaliza shughuli hayo kwa kulaza timu ya Malmo kwa mabao tatu mtungi.

Comments

Popular posts from this blog

Mahakamani

Jeshy Tisa Ya Kogalo wabandua Petro Atletico!

Brazil Sent Packing As Croatia Proceeds To Semi Finals