kesi mahakamani

 Mahakama ya Winam jijini Kisumu, imeahirisha kesi inayomkabili Ezekiel Nyambane anayetuhumiwa kufanya biashara bila leseni .
Mbele ya hakimu Benard Kasavuli, mahakama iliambiwa kua bwana Ezekiel alipatikana mnamo tarehe kumi na nane mwezi huu akiuza madawa kwenye duka la dawa moja liitwalo kama Ziwa iliyoko kisumu.
Ezekiel alikanusha mashtaka hayo, na kuomba kuachiliwa dhamana.
Aliachiliwa kwa dhamana ya shilingi alfu 10 pesa taslimu, au shilingi alfu 20 na mdhamini wa kiasi sawa na hicho.
Kesi hiyo itasikilizwa tarehe 18 mwezi Juni, mwaka huu.

Comments

Popular posts from this blog

Mahakamani

Jeshy Tisa Ya Kogalo wabandua Petro Atletico!

Brazil Sent Packing As Croatia Proceeds To Semi Finals