Mechi za kpl

Mabingwa mara kumi na saba Gor Mahia almaarufu kama kogalo ,leo hii watajibwaga ugani ili kuendeleza kampeni zao za kutetea kombe ilo la KPL kwa mara nyingine dhidi ya  timu ya sony sugar kutoka Awendo.
Mechi hiyo itachezwa majira ya saa kumi alasiri kwenye uga  ya Afraha jijini Nakuru na siyo machakos kama ilivyopangwa mbeleni.
Sony sugar ambao ni wapinzani kuu wa Gor Mahia kwa hivi sasa wako mbele ya kogalo uko wakiachana na pointi 1 ,vijana wa Awendo wako nambari 8 na point 14 uku  kogalo wakiwa nambari 9 na pointi kumi na mbili baaada ya kucheza mechi nane ,mechi moja chini ya sony sugar.
Tukisalia mchezoni,Timu ya Kariobangi sharks wako bao moja mbele dhidi ya Mathare united kwenye uga wa Nairobi city stadium,.Kwengineko Kakamega homeboyz bado wanatesa nyasi bure dhidi ya bandari kule Bhukungu stadium .Vilevile mambo ni sawasawa kati ya Kericho Zoo AFC Leopards  uko Grreen stadium,Kericho.

Comments

Popular posts from this blog

Mahakamani

Jeshy Tisa Ya Kogalo wabandua Petro Atletico!

Brazil Sent Packing As Croatia Proceeds To Semi Finals