kamayotheblogger: Mechi za kpl: Mabingwa mara kumi na saba Gor Mahia almaarufu kama kogalo ,leo hii watajibwaga ugani ili kuendeleza kampeni zao za kutetea kombe ilo la...
Nigeria stole dream of first Women's Africa Cup of Nations {WAFCON} title from host Morocco in a highly contested final at the Olympic stadium in Rabat. In a heartbreaking turn of events, the title slip away from the fingers of the Atlas Lioness in the final minutes as Nigeria secured a dramatic 3-2 victory on Saturday. Morocco had put themselves in a commanding position with a brilliant first half display, taking a deserved 2-0 lead through goals from captain Ghizlane Chebbak and Sanaa Mssoudy. However ,the nine time champions mounted an impressive comeback in the second half to claim their tenth continental crown. Morocco started the match with intensity and purpose, delighting the home crowd when they took the lead in the 13th minute with a powerful strike from the edge of the box that flew pass the Nigerian goalkeeper. The host then doubled their lead just 9 minutes later through Mssoudy, who showed excellent footwork on the left side of the penalty area before dri...
Mahakama ya Winam jijini Kisumu, imeairisha kesi inayomkabili Geofrey Odhiambo anayeshtakiwa kwa kosa la kuiba . Mbele ya hakimu Fatuma Rashid, mahakama iliambiwa kuwa mwanamme huyo pamoja na wengine ambao hawakufiki mbele ya mahakama walimwibia Philip Nyamonga miti za uzio kwa boma pamoja na rolls kumi za nyaya mnamo tarehe 9 disemba mwaka 2018 kwenye eneo la Wath Orengo iliyo kisumu east,kisumu kaunti. Bidhaa zote ni za gharama ya thamani elfu 70000 Geofrey alikanusha mashtaka hayo, na kuomba kuachiliwa huru. Aliachiliwa na kuagizwa kuleta mashaidi wake siku ya kesi hiyo kusikilizwa. Kesi hiyo itasikilizwa tarehe 23 mwezi Mei, mwaka huu. Vilevile Mwanamme mmoja kwa jina Peter Omondi ameshtakiwa kwenye hiyo ya Winam jijini Kisumu kwa kosa la kukiuka sheria za barabara. Mbele ya hakimu Fatuma Rashid, mahakama iliambiwa kuwa mshtakiwa alipatikana mnamo tarehe 18 mwezi huu kwenye barabara ya kisumu kakamega akiendesha gari bila leseni,bila sare ya dereva na ...
Klabu ya Gor Mahia almaarufu kama Kogalo wamekuwa timu ya kwanza nchini kufuzu kwenye robo fainali kwenye mashindano ya kung'ang'ania taji la klabu bingwa Afrika . Kogalo walibaki watu tisa kwenye mechi hiyo baada ya wachezaji wao Ernest Wendo na Shafiq Batambuzi kuonyeshwa kadi nyekundu kwenye mechi hiyo iliyochezwa ugani kasarani mnamo jumapili. Gor mahia walionyesha umahiri wao kwenye mechi hiyo na kulazimisha timu ya petro Atletico kuenda nyumbani na kubanduliwa kutoka kwa mashindano hayo. Kumbuka Kogalo walihitaji ushindi wowote kwenye mechi hiyo ilinkufuzu huko Petro Atletico wakitaka tu sare yeyote ile .Kwa hivyo ilikuwa mechi ya kukata na shoka huko kila timu ikijaribu kujipea tiketi kwenye robo fainali lakini mwishowe Kogalo ndio waliotoka na ushindi . Kogalo walipata bao yao mnamo dakika ya 56 kupitia mchezaji Jacquis Tuyisenge na mkwaju wa penalti . Kocha wa Kogalo Hassan Oktay alionyeshwa kadi nyekundu na kufukuzwa kando ya uwanja baada ya kukosana na w...
Comments
Post a Comment