kamayotheblogger: Mechi za kpl: Mabingwa mara kumi na saba Gor Mahia almaarufu kama kogalo ,leo hii watajibwaga ugani ili kuendeleza kampeni zao za kutetea kombe ilo la...
Mahakama ya Winam jijini Kisumu, imeairisha kesi inayomkabili Geofrey Odhiambo anayeshtakiwa kwa kosa la kuiba . Mbele ya hakimu Fatuma Rashid, mahakama iliambiwa kuwa mwanamme huyo pamoja na wengine ambao hawakufiki mbele ya mahakama walimwibia Philip Nyamonga miti za uzio kwa boma pamoja na rolls kumi za nyaya mnamo tarehe 9 disemba mwaka 2018 kwenye eneo la Wath Orengo iliyo kisumu east,kisumu kaunti. Bidhaa zote ni za gharama ya thamani elfu 70000 Geofrey alikanusha mashtaka hayo, na kuomba kuachiliwa huru. Aliachiliwa na kuagizwa kuleta mashaidi wake siku ya kesi hiyo kusikilizwa. Kesi hiyo itasikilizwa tarehe 23 mwezi Mei, mwaka huu. Vilevile Mwanamme mmoja kwa jina Peter Omondi ameshtakiwa kwenye hiyo ya Winam jijini Kisumu kwa kosa la kukiuka sheria za barabara. Mbele ya hakimu Fatuma Rashid, mahakama iliambiwa kuwa mshtakiwa alipatikana mnamo tarehe 18 mwezi huu kwenye barabara ya kisumu kakamega akiendesha gari bila leseni,bila sare ya dereva na ...
Klabu ya Gor Mahia almaarufu kama Kogalo wamekuwa timu ya kwanza nchini kufuzu kwenye robo fainali kwenye mashindano ya kung'ang'ania taji la klabu bingwa Afrika . Kogalo walibaki watu tisa kwenye mechi hiyo baada ya wachezaji wao Ernest Wendo na Shafiq Batambuzi kuonyeshwa kadi nyekundu kwenye mechi hiyo iliyochezwa ugani kasarani mnamo jumapili. Gor mahia walionyesha umahiri wao kwenye mechi hiyo na kulazimisha timu ya petro Atletico kuenda nyumbani na kubanduliwa kutoka kwa mashindano hayo. Kumbuka Kogalo walihitaji ushindi wowote kwenye mechi hiyo ilinkufuzu huko Petro Atletico wakitaka tu sare yeyote ile .Kwa hivyo ilikuwa mechi ya kukata na shoka huko kila timu ikijaribu kujipea tiketi kwenye robo fainali lakini mwishowe Kogalo ndio waliotoka na ushindi . Kogalo walipata bao yao mnamo dakika ya 56 kupitia mchezaji Jacquis Tuyisenge na mkwaju wa penalti . Kocha wa Kogalo Hassan Oktay alionyeshwa kadi nyekundu na kufukuzwa kando ya uwanja baada ya kukosana na w...
The World Cup of shocks continued on Friday as wily Croatia dumped favourites Brazil out on penalties. Brazil are gone, out of the World Cup that they always seemed so likely to win. They were favourites in this game and likely would have been in all of the ones to come. That didn't matter to Croatia as they fought harder than before to eliminate the 5 times winners. If this were David and Goliath, and make no mistake, Brazil are a Goliath, then a penalty shootout is seemingly Croatia's rock, the great equaliser. They pushed the mighty Selecao to penalties and took over from there, with Rodrygo's miss setting the tone for his side's collapse. And that's what it will feel like: a collapse. They seemingly had this settled thanks to Neymar , who had scored a career-defining goal in extra time. Bruno Petkovic equalised in the 116th minute and, from there, it all unraveled for Brazil, both the game and the World Cup. Croatia will play Argentina in the semi finals after t...
Comments
Post a Comment